Leo nilipata fursa ya kuutambulisha wimbo wangu wa “Nioshe Yesu” kwa mara ya kwanza. Wimbo huo wa taratibu na wenye ujumbe mkubwa ndani yake niliutambulisha kwa watanzania kupitia SUA FM – Morogoro kwa mahojiano nami kwa njia ya simu yaliyofanyika leo tarehe 25 feb 2018 saa 1:30 asubuhi. Sikiliza mahojiano hayo hapo chini.
0 comments:
Post a Comment